Akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Arica Radio, Baghdad amesema chanzo cha ugomvi huo ni kipande cha video kilichotengenezwa na director wake ili akipost kwenye mitandao ya kijamii kutengeneza promo, na yeye kukipost kwenye group la wasanii, ndipo Babu Tale akaja juu.“Mi nilichofanya nilichukua ile clip nikaituma kwenye group la wasanii wa Tanzania, baada ya kukituma kule baada ya dk 15 nikaona Tale kapost katuma maneno makali sana, ole wake msanii atakayepost hii ntatuma 'team zangu' wamtukane, ole wenu sasa ndo nataka niwaonyeshe utandale, halafu we Baghdad usinichukulie poa, mi nikakomenti kwa muuliza 'Babu tale every thing you know wakati narekodi', tukaongea kwenye simu nikawa namwambia na nakuchana kwenye wimbo, and he was ok”, alisema Baghdad.Lakini pia Baghdad alielezea kitendo cha yeye kutolewa kwenye group hilo la wasanii wa Tanzania, na kuleza hisia zake huku akihoji kama group hilo ni la wasanii wote au ni la babu Tale na wasanii wake?“Nilishangaa baada ya kuona amenitoa kwenye group baada ya kuona ile clip ya video, sasa alivyonitoa mi nilikuwa najiuliza maswali mengi, lile group la wasanii lililoanzishwa ni group la Babu Tale featuring wasanii au la wasanii kama wasanii, kwa sababu kama mi nimewachana wasanii its ok ningeweza kupata adhabu hiyo”, alisema Baghdad.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni