Mgombeawauraiskupitiachamacha RepublicannchiniMarekanisasaanasemakuwahuendauchaguzimkuuwaNovembaukakumbwanaudanganyifu.
Ameuambia mkutano wa hadhara mjini Colombus jimbo la Ohio kwamba amesikia mara nyingi kwamba uchaguzi huo huenda usizingatie maadili ya uwazi .
Hatahivyo hakutoa ushahidi wowote.
Bwana Trump ameshtumiwa kuhusu matamshi aliyotoa kuhusu wazazi wa mwanajeshi Muislamu aliyeuawa katika vita nchini Iraq.
Kuhusu uchaguzi ujao wa mwezi Novemba Trump amesema kuwa ana wasiwasi kwamba uchaguzi huo utafanyiwa udanganyifu.
Ameongezea matamshi kama hayo katika chombo cha habari cha Fox News akisema: Natumai wanachama wa Republican wako macho ama uchaguzi utaibwa.
ni kazi yangu kukujuza
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Jumatano, 3 Agosti 2016

Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni