Chris Brown asema mwaka huu atakuwa tajiri zaidi kwa kufungua kesi ya madai dhidi ya watu wanaosema uongo na kuchafua jina lake.Chris Brown amekuwa mkali mwaka huu baada ya kutangaza rasmi kuwa atapunguza kundi la watu linalomzunguka na kwamba atafungua kesi ya madaiya kuchafuliwa jina kila mara mtu atakapo sema uongo juu yake na kuchafua jina lake.“I’m going to be hella rich after all the lawsuits I file from these crazy individuals who keep lying on my name,” .Chris Brown amesema ataanza na mwanamke ‘ Liziane Gutierrez ‘ aliyedanganya kuwa kapigwa ngumi na Chris Brwon usiku wa mwaka mpya mjini Las Vegas na baadae kugundulika kuwa mwanamke huyu ni shabiki wa wasanii wengi na hufanya vituko pale anapokataliwa kuwa karibu na wasanii hawa.Aliwahii kumfanyia vituko msanii Jason Derulo.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni