Mwigizaji kutoka Afrika achaguliwa kuigiza kama Mama yake 2 Pac kwenye All Eyez On Me. - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Alhamisi, 14 Januari 2016

Mwigizaji kutoka Afrika achaguliwa kuigiza kama Mama yake 2 Pac kwenye All Eyez On Me.

Mwigizaji kutoka Zimbabwe anayeishi Marekani amechaguliwa kuigiza kama mama yake 2 Pac ‘AfeniShakur’ kwenye Filamu ya TupacAll Eyez On Me inayohusu maisha halisi ya 2 Pac.Danai Gurira anayeigiza kama Michonne kwenye show yaThe Walking Deadndio amepewa nafasi hii peke inayotegemewa kumn’garisha zaidi.Filamu hii itaonyesha maisha ya Tupac nyumbani na studio haswa baada ya kupata dili la kufanya kazi naDeath Row Records.

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa