Video: Tizama alichokisema Raisi Obama juu ya INTERNET kuwa OPEN na Free - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumanne, 11 Novemba 2014

Video: Tizama alichokisema Raisi Obama juu ya INTERNET kuwa OPEN na Free

"Tangu kuundwa kwa internet, imekuwa ikiendeshwa kwa kanuni za uwazi, usawa na uhuru wa kutumia, hakukuwa na get keepers kuamua tovuti gani uingie. kuziacha kanuni hizi, zinatishia kuondoa internet kama tunavyoijua"
 
Raisi Barack Obama ametoa wito kwa tume ya mawasiliano (Federal Communicatons Commision) kufanya chochote wanachoweza kulinda usawa wa matumizi ya internate kwa kila mmoja, waweke wazi kuwa iwe unatumia computer,
simu au tablet, providers wa internet wanajukumu halali la kutokuzuia au kupunguza access yako kwenye website, kampuni za cable haziwezi kuamua online store gani unaweza kununua vitu kutoka kwao au huduma gani ya streaming unaweza kuitumia........

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa