Hiki ndicho alichokiandika Wahuu baada ya kudaiwa kumpa talaka mumewe "Nameleass" nae ameandika yake - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumanne, 11 Novemba 2014

Hiki ndicho alichokiandika Wahuu baada ya kudaiwa kumpa talaka mumewe "Nameleass" nae ameandika yake

Story kuhusu kuvunjika kwa ndoa ya wasanii Nameless na Wahuu (Kenya) ilitawala sana siku ya jana katika mitandao mbali mbali, baada ya blog moja kudai kuwa wasanii hao ambao wameoana kwa muda mrefu sasa wanapeana talaka. sababu za kufanya hivyo, ni mtoto wao ambae blog hiyo imedai kuwa sio wa Nameless bali ni wa mwanaume mwingine

  Mapema leo hii nameless ameonyesha kusikitishwa na blog iliyotoa habari hiyo mbaya ambayo haina ukweli wowote ili kujipatia trafficna zaidi ikimuhusisha mtoto wake mdogo

na hiki ndicho alichokiandika Wahuu

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa