Uholanzi yafanya maadhimisho kuwakumbuka waliopotea na ndege ya Malaysia. - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumanne, 11 Novemba 2014

Uholanzi yafanya maadhimisho kuwakumbuka waliopotea na ndege ya Malaysia.

Kumefanyika maadhimisho ya kuwakumbuka watu walipoteza uhai wao kwenye ndege ya shirika la ndege la Malaysia MH17, nchini Uholanzi,ambapo maua na mishumaa ipatayo mia mbili na tisini na nane vilinavyo wakilisha idadi ya abiria waliokuwa wakisafiri na ndege hiyo kabla ya ajali ambavyo viliwekwa na wanafunzi,ndege hiyo ilipopotelea Mashariki mwa Ukraine yapata miezi minne iliyopita.
Mfalme na malkia wa Uholanzi na mabalozi wa nje waliomo nchini humo walihudhuria hafla hiyo,ambapo majina ya walikufa katika ajali hiyo yalitajwa.

Ikiwa imetimia miezi minne leo, sababu za ajali hiyo mpaka sasa hazijajulikana,ingawa kikundi cha kigaidi cha Urusi kinashukiwa kuidungua ndege hiyo,ambayo ilikuwa ikifanya safari zake kutoka uwanja wa ndege wa Amsterdam kuelekea Kuala Lumpur Malaysia.
nasemekana ndege hiyo ilidunguliwa kwa kombora, na mara moja serikali mjini Moscow imekanusha taarifa hizo.bbc

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa