Kim Kardashian abeba pochi iliyopakwa rangi rangi na mtoto wake North. - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumanne, 11 Novemba 2014

Kim Kardashian abeba pochi iliyopakwa rangi rangi na mtoto wake North.

Kim Kardashian ameonekana akiwa na mumewe Kanye West siku ya jana Monday, November 9, LA akiwa amebeba Hermes pochi iliyopakwa na kuchorwa rangi na mtoto wao North 
Kardashian 34, mwanzoni aliiambia US weekly, mwezi uliopita kwenye birthday yake kuhusu kitu kilichopambwa na mtoto.
"Kanye alikuwa na box (lilikuwa na pochi ya Hermes) na nikaifungua, ilikuwa imechorwa vizuri sana na kwenye computer yangu kulikuwa kuna message inayosema "Play" na ilikuwa ni video ya mtoto wangu akia amekaa nje akiipaka rangi pochi hiyo.

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa