Picha: Wema na Penny waweka tofauti zao pembeni baada ya kupatanishwa - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumanne, 11 Novemba 2014

Picha: Wema na Penny waweka tofauti zao pembeni baada ya kupatanishwa

Muigizaji wa Bongo Movie, Wema Sepetu na mtangazaji Penny Muingila wamemaliza tofauti zao zilizodumu kwa muda sasa (chanzo kikiwa ni mapenzi na Diamond) baada ya kupatanishwa na wanaemuita dada yao "Junaitha Pemba" siku ya jana.

Upatanisho wa wawili hao umefanyika siku ya jana pale ambapo Junaitha alikuwa anasherehekea siku yake ya kuzaliwa katika moja ya hoteli za kifahari jijini.

Penny. Junaitha na Wema Sepetu

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa