Raisi wa nne wa Kenya Uhuru Kenyata amewaacha watu na surprise nyingine
siku ya jana (jumatano) asubuhi baada ya kuamua kupanda matatu
kuelekea KICC kwenye uzinduzi rasmi wa My 1964.
CEO wa Safari com Bob Collymore alipata heshima ya kupanda matatu hiyo
na Raisi Kenyata kutoka Ikulu kuelekea katika uzinduzi ho.
My 1963 ni mfumo mpya ulioanzishwa na SafariCom ambao unapunguza matumizi ya pesa Cash kwenye daladala








Hakuna maoni:
Chapisha Maoni