Kuelekea Miss World 2014: Tizama interview ya Miss Tanzania Happiness Watimanywa ndani ya BBC - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Ijumaa, 21 Novemba 2014

Kuelekea Miss World 2014: Tizama interview ya Miss Tanzania Happiness Watimanywa ndani ya BBC

 Miss Tanzania Happiness Watimanywa ambaye tayari kashafika jijini Londoni kwa ajili ya mashindano hayo ya urembo kwa ngazi ya Dunia (Miss World) amefanya mahojiano na mtangazaji wa kituo cha TV cha BBC SWAHILI Salim Kikeke

Kikeke alimuuliza Happiness juu ya vigezo vya msichana mrembo.."Mschana mrembo anatakiwa kuwa na vigezo gani?"
inategemea unamaanisha urembo gani? kwasababu kila mtu anakuwa na tafsiri yake, kwenye mashindano kuna tafsiri nyingine kwa watu binafsi kunakuwa kuna tafsiri nyingine. Mimi kama happiness Watimanywa najua urembo ni kujivunia uzuri wako au vitu ambavyo umejaaliwa navyo lakini ukienda sasa kwenye mashindano kunakuwa kuna tafsiri nyingine.
Salim: naweza kusema wewe ndio mshana mrembo kuliko wote Tanzania??
"sasa hiyo inategemea na nani anauliza au nani anadhani hivyo, kila mtu anakuwa na maoi yake".... alijibu happiness
tazama hapa

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa