Baada ya kufanya miziki aina karibu yote, Banana sasa kujifunza hiphop mwalimu ni FA - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Ijumaa, 21 Novemba 2014

Baada ya kufanya miziki aina karibu yote, Banana sasa kujifunza hiphop mwalimu ni FA

Banana Zoro ambae ni kaka wa Maunda Zoro na mtoto wa mkongwe mzee Zahir Zorro, ameingia darasani kujifunza muziki wa Hiphop na mwalimu wake akiwa ni Mwana FA.
Banana Zoro ni mmoja kati ya wasanii wachache wenye uwezo wa kufanya aina nyingi ya muziki na bado akawa mkali kotekote.Kwa zaidi ya miaka 10 ndani ya game ya muziki tumemshuhudia akifanya muziki wa Bongo fleva,R&B, zouk,afro pop,na hata  rock.

 mi naimba miziki ya aina yote, feeling itakayokuja reggae r&b n asasa hivi FA anani train hiphop moja just aa song , sio kwamba nina fanyanya ndo nitachofanya lakini experince watu soko linabadilika na ushindani unazidi kukuwa, hata ku-record bado mpaka training yenyewe sijamaliza, nauliza maswali naye ananipa style am trying naandika na imitate (naiga)
 
mshkaji wangu, ni mmoja kati ya watu ambao walikuwa wakiniamini mi ninaimba, unajua zamani hapa down town watu waliokuwa wanaimba yaani wakali wa kuimba walikuwa ni Mr Paul na Terrence tu basui, kwahi ilikuwa wakati mi sijulikani ikawa kinachotokea ni kwamba dada zake FA wamegawana hawa wanampenda  Mr Paul hawa Terrence sasa FA akawa anawaambia aaaah nyie hamjaskia nyinyi kuna mnyamwezi mmoja noma huyo nomaaa.

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa