LMFAO: Umeusikia wimbo wa Yamoto Band (Niseme) ulivyorudiwa kwa mashairi ya dini???? Gospal - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Ijumaa, 21 Novemba 2014

LMFAO: Umeusikia wimbo wa Yamoto Band (Niseme) ulivyorudiwa kwa mashairi ya dini???? Gospal

Wimbo wa Yamoto Band unaofanya vizuri kwa sasa "Niseme" umerudiwa na wasanii ambao bado sijawafahamu ni kina nani ila dizaini wametupia mshairi ya dini na usiposikiliza vizuri utjua ni Yamoto jinsi ambavyo wameipatia

Hivi ndivyo inayoanza kwenye upande wa mashairi yake 
shetani yesu yuleee, walevi yesu yuleeee, wazinzi yesu yuleeeee (yeeesu yeeesu huyooooo)
Ale Yesu huyo, katoka mbinguni zawadi mkononi kaleta bibble*2
(tuspate tabu ya kutangaza neno)
Ale yesu umerudi nipe upako nitangaze neno lako, shetani ibilisi achukie nami niringe nijigambe
ila yesu wachungaji sikuhizi wanapigana, zile sadaka zetu ndo zinazofanya wanagombana .......

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa