Wawili wafa kwa ajari jana mjini mbeya. - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumapili, 12 Februari 2017

Wawili wafa kwa ajari jana mjini mbeya.













Vijana wawili walio kuwa kwenye pikipiki aina ya boksa wagonga gari na kufa papo hapo jana mchana muda wa saa tisa mjini Mbeya.
Hata hivyo hawakufahamika kwa haraka majina yao.
Tazama picha hapo juu kuona zaidi.


Popote ulipo tupo.


Maoni 1 :

Kassim juma alisema ...

R.I.P ma niggas

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa