Hivi ndivyo Whasapp ilivyotukomesha waongo wa "Sijaona message yako" - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumanne, 11 Novemba 2014

Hivi ndivyo Whasapp ilivyotukomesha waongo wa "Sijaona message yako"

Wale mliozoe kusema " sijaona message yako au "basi itakuwa sijaisoma"  kwasababu hakukua na chochote kinachomuonyesha mtumaji umesoma basi mmekomeshwa na "Whatsapp" safari hii.


Sasa hivi kila ujumbe utakaopokelewa na kusomwa kupitia whatsapp utaonyesha alama ya tiki mbili za blue ikimaanisha ujumbe umefika na umeshasomwa, ukilinganisha na zamani, ujumbe  ulikuwa ukitumwa kama haijafika unaonyesha tiki moja, ukifika unaonyesha tiki mbili lakini haionyeshi kama ujumbe umesomwa au la.

Kama aimu yako inaji upodate mar akwa mara utakuwa ushaona mabadiliko haya na kama bado fanya ku update whatsapp yako sasa.
  

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa