Familia ya Loon yaomba msada wa kifedha na kihisia - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumanne, 11 Novemba 2014

Familia ya Loon yaomba msada wa kifedha na kihisia

Familia ya msanii wa zamani wa Bad Boys Records Loon ambae kwa hivi sasa anajulikana kama Amir Junaid Muhadit wameomba kusaidiwa kuondokana na mzigo mkubwa waliubeba wa kihisia pamoja na kifedha kutokana na kukamatwa kwa Rapper huyo 2011
Mwaka 20011 Loon alikamatwa nchini Belgium baada ya kujaribu kuingia nchini humo baada ya kushtakiwa kwa kujihusisha na usafirishaji wa madawa ya kulevya  kaskazini mwa Carolina mwaka mmoja kabla.

Kukamawa kwake kumempelekea kupewa ifungo cha miaka 14 numa ya nondo. katika recording aliyoifaya akiwa jela mwaka jana Loon alielezea kiundani mashatka yake aliyoshtakiwa 
“I also want to explain to you in detail, the detail of the charges I was charged with and the federal indictment from the Eastern District of North Carolina which was the conspiracy charge, which I was charged with,” Loon said in the recording. “Conspiring to possess with intent to distribute…If someone was to call you on the phone and make statements engaging in some form of illegal act, the moment that you answer that persons question or answer that person in general, automatically that falls underneath the umbrella of conspiracy. That means at that point you are conspiring to join that individual…to do something illegal.”
Tangu kufatia kukamatwa kwa Amir, familia yake imekuwa ikipitia majaribu mengi kuanzia kusimamishwa kwa acc za benki, kunyimwa haki ya makazi Marekani,  kutokea katika mahakama za marekani kupigania makazi 
“Having shared some of the few issues the family has faced since Amir’s incarceration and with Amir been sentenced to 14years in Prison this month we turn to you to asist the family & children of Amir from this trail,” the family said in a letter posted on their FundRazr website. “We ask you today to relieve the financial and emotional burden the family is suffering….” wameandika familia ya Loon
Familia ya Loon imefanikiwa kuchangisha dola 11,000 tangu walipoanza kuchangisha online mwezi wa saba mwaka jana.

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa