Hiki ndicho alichokisema Laveda baada ya tuhuma za kujichuwa ndani ya BBA - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumamosi, 15 Novemba 2014

Hiki ndicho alichokisema Laveda baada ya tuhuma za kujichuwa ndani ya BBA

Mshiriki wa BBA 2014 Laveda kwa mara ya kwanza amezungumza na soso fresh ya Clouds Fm inayoongozwa na Fetty na kufunguka juu ya story zilizopo mtaani zinazodai kuwa mshiiriki mwezake kutoka Bongo Idris alikasirishwa na kitendo cha kumkuta akijichua mara baada ya kupiga mitungi live kupitia runinga za Africa
Laveda amesema kuna miss information kubwa sana kwenye media, hasa pale mtu anapoongea kila mtu anakuwa anadaka yale madai anayoongea na kusema kuwa Idris alikasirishwa na msichana mwingine na wala haikuwa yeye aliemkasirisha.
unajua pale BIg Brother wanakuwa wanaficha brands zote sasa sijui labda kuongea kuhusu vivutiio ya nchi yangu na pia kuongea na ma housemate wangu kwamb abaada ya big brother tutafanya hivi na hivi  because i was so impressed ..........so i think ile pia imecheza 
msikilize zaidi  hapa chini

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa