Jamii ya Tanzania ambayo marehemu 'huoa na kujaliwa watoto'. - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumanne, 28 Februari 2017

Jamii ya Tanzania ambayo marehemu 'huoa na kujaliwa watoto'.

Bara la Afrika husifika kwa utajiri wa tamaduni mbalimbali, zipo tamaduni za kufanana baina ya makabila lakini pia kuna tamaduni za kushangaza na kukuacha mdomo wazi.

Je, umewahi kusikia marehemu kutafutiwa mchumba na kuoa? Basi huo ni moja ya utaratibu katika baadhi ya koo za jamii ya Wakuria nchini Tanzania.

Marehemu anaoa vipi? Munira Hussein anaarifu zaidi.


Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa