Obama na Trump wazungumza kwa mda - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumatano, 3 Agosti 2016

Obama na Trump wazungumza kwa mda

Rais wa Marekani Barack Obama amemshambulia vikali mgombea wa chama cha Republican Donald Trump akisema kuwa hana uwezo kuwa rais.

Obama alitaka kujua ni kwa sababu gani chama cha Republiban kinaendelea kumuunga mkono bwana Trump.

Alisema kuwa kinyume na wagombea wengine wa zamani wa Republican, bwana Trump hana uwezo wa kushika wadhifa mkubwa zaidi duniani.

Trump alijibu kwa kumlaumu Obama kwa uongozi mbaya.


ni kazi yangu kukujuza

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa