Staa wa Rnb aliyekuwa anajiachia na kula bata weekend hii alikutana na mapaparazzi na kuulizwa kuwa je yeye na Keith Sweat nani ni mjanja zaidi katika kuwauza wanawake ‘Pimpin’.Chris Brown ambaye hivi karibuni wimbo wake wa ‘Who’s Gonna (Nobody)’ Remix umepata Intro kutokakwa Keith Sweat alisema kuwa baba kumembadilisha kabisa.“Chris Brown anasema amebadilika sana toka awe baba na kwamba anaheshimu na kupenda sana wanawake”.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni