Weusi: "Funga mwaka la Weusi Mbeya Limeahirishwa kutokana na kifo cha mwana hihop mwenzetu" - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Alhamisi, 13 Novemba 2014

Weusi: "Funga mwaka la Weusi Mbeya Limeahirishwa kutokana na kifo cha mwana hihop mwenzetu"

 Wasanii wa hiphop wanaounda kundi la weusi wameahirish akufanya tamasha lao mkoani Mbeya baada ya kutokea kifo cha rapper Geez Mabovu
Weusi walitarajia kufanya tamasha hilo la funga mwaka November 14 ndani ya City Pub, mkoani mbeya lakini kwa mujibu wa kilichoandikwa na msemaji mkuu wa kundi hilo, Nikki wa pili, halitafanyika ili kupisha msiba huu

Kumbuka Mabovu alikuwa ni mshakji wake na Joe Makini na hata walifanikisha kufanya collable kadhaa zikiwemo "Nilikotoka" iliyofanyika 41 Records na nyingine iliyofanyika Bongo Records
nae G nako aliandika kupitia acc yake Insta

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa