Breaking News: Rapper Geez Mabovu afariki dunia usiku huu - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Alhamisi, 13 Novemba 2014

Breaking News: Rapper Geez Mabovu afariki dunia usiku huu

Rapper aliekuwa anawakilisha Dirty South,  Ahmed Ally Upete, a.k.a "Geez Mabovu" amefariki dunia jioni ya leo (November 11)  mishale ya sa moja akiwa kwao mkoani iringa
Geez ameugua kwa muda mrefu na baada ya hali yake kuonekana sio nzuri kaka yake alikuja kumchukua na kurudi nae mkoani Iringa, ameniambia mdogo wake ambae pia ni msanii  "Mad P" kupitia ujumbe mfupi wa maneno. habari zaidi utaendelea kuzipata kila zinapotufikia

Mabovu alikuja juu sana baada ya kutoa ngoma inayoitwa  Mtoto Wa Kiume na dakika sifuri aliyomshirikisha marehem Albert Mangwea.

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa