Staa mwingine aliyeingia kwenye trend ya #Breaktheinternet baada ya Kim Kadarshian. - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Alhamisi, 27 Novemba 2014

Staa mwingine aliyeingia kwenye trend ya #Breaktheinternet baada ya Kim Kadarshian.

BreakTheInternet-copy 
Ikiwa zimepita siku kadhaa tangu Staa Kim Kadarshian kukaa kwenye headlines kutokana na picha zake zikimuonyesha akiwa tupu kuzagaa kwenye mitandao, staa mwingine tena huenda akaingia kwenye trend ya #BreaktheInternet.
Kwenye ukurasa wa Rapa Wiz Khalifa ameweka picha inayomwonyesha akijimwagia maji kichwani huku akiwa mtupu ndani ya bafu.
Bado haijafahamika kama amefanya hivyo kama njia ya kuyatangaza maji hayo au ana maana ipi.
wiz 
Hakuna story itakayokupita mtu wangu, niko tayari kukutumia wakati wowote kupitia twitter instagram na facebook ukijiunga na mimi

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa