Picha:50 cent na Snoop Dogg wamcheka Wizkhalifa na kumfananisha na mbwa - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumanne, 11 Novemba 2014

Picha:50 cent na Snoop Dogg wamcheka Wizkhalifa na kumfananisha na mbwa

Rapper 50 Cent na Snoop Dogg ambao wanajulikana kwa comments kuhusu mambo yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii wamejikuta wakimcheka Wiz kwa kupost picha yake akiwa na nywele za rangi ya purple 
Picha hiyo walioipost kupitia mtandao wa IG, inamuonyesha Wiz akiwa na dread za rangi ya purple (aliyoipost mwenyewe mwezi mmoja uliopita)  na kuiambatanisha na picha ya mbwa akiwa amevikwa kofia ya soksi yenye rangi kama za nywele yake.

Snoop alipost pich ahiyo kutoka kwenye acc ya mtumiaji anaejiita Swankitsalifestyle" na kuandika 
"Swank u wrong for this hahahahah!!"

Na 50 nae akapost picha hiyo ikiambatana na maneno haya 
Wiz alipost picha yake ikiwa anaonyesha rangi ya nywele aliopaka kwenye deards zake mwezi mmoja uliopita kabla ya kupost zingine kibao akiwa katika muonekano huo.

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa