Picha: Rapper Geez Mabovu azikwa nyumbani kwao Iringa - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumamosi, 15 Novemba 2014

Picha: Rapper Geez Mabovu azikwa nyumbani kwao Iringa

Rapper Geez Mabovu aliefariki siku ya jana mida ya saa mbili na dakika 15 (kwa mujibu wa baba yake mdogo) amezikwa leo hii katika makaburi ya mlolo mkoani kwao Iringa.
Mazishi yake yamefanyika leo hii mida ya saa kumi jioni na kuhudhuriwa na ndugu jamaa na marafiki na hata baadhi ya wasanii wakiwemo Joh Makini, G nako pamoja na producer Lamar








Joh Makini akimpa mkono wa pole baba mzazi wa Ahmed Ally Upete (Geez Mabovu) walipohudhuria mazishi Iringa

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa