Management mpya ya Amini kuwekeza milioni 48 kwenye mziki wake - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumamosi, 15 Novemba 2014

Management mpya ya Amini kuwekeza milioni 48 kwenye mziki wake

Hivi karibuni msanii wa Bongo Fleva Amini aliagwa rasmi na nyumba ya kukuza vipaji THT ambako alikuwepoo kwa zaidi ya miaka 10 tangu alipoanza kufundishwa mziki mpaka kuanza kutengeneza pesa kupitia ngoma na album alizowahi kuachia.
Amini aliagwa THT baada ya kupata mkataba wa kibiashara na kampuni ya BME (Blast Morden Entertainment)  ambayo imemtengea shilingi milioni 46 kwa ajili ya kazi zake kuanzia audio, video, mavazi, social media na kila kinachohusiana namziki wake. Amini ni msanii wa kwanza kusainiwa nakampuni hiyo kama ilivyokuwa kwa Lina ambae nae aliagwa baada ya kusainiwa na kampuni inayoitwa NFZ (No Fake Zone) na kuwa msanii wa kwanza kwenye kampuni hiyo

Mkurugenzi wa kampuni hiyo bwana Newton amesema ameanza na Amini kwasababu ni msanii anaejieelewa ana displine na ni mtunzi na muimbaji mzuri. "tumepanga kumfanyia kazi nzuri za kumuendeleza kimuziki kufanya udio na video nzuri kumtangaza kimataifa.....
kwa mimi tumeamua kuweka kwanza 48 millioni lakini mpaka sasa tumeshaweka fungu la milioni 30 ambalo tumeshaanza kullitumia kwa sasa" amesema bwana Newton.. zaidi mzikilize hapo chini

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa