Picha: Guiness wawakutanisha mwanaume mfupi na mrefu duniani - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumamosi, 15 Novemba 2014

Picha: Guiness wawakutanisha mwanaume mfupi na mrefu duniani

 
 Alhamis ya jana (November 14) mwanaume mrefu kuliko wote duniani na mfupi kuliko wote walikutana katika tukio lililofanyika London ambapo walipiga picha ya pamoja wakipeana mikono.
 
Tukio hilo lilikuwa ni lakumi la mwaka la rekodi za Guinness kusherehekea rekodi zilizowekwa na dunia. Guiness waliwasafirisha wanaume hao ambao ni Sultan Kosen kutoka uturuki (Mrefu) na Chandra Bahadur Dangi  (mfupi) kutoka Nepal kwaajili ya picha ya kipekee.


Kosen (31) ni mkulima wa msimu mwenye urefu wa feet 8na nchi 3, ana uwezo wa kushika kikapu cha goli la bascket bila kuruka, alishika rekodi hiyo mwaka 2009 baada ya kumpita urefu Xi Shun wa China mwenye feet 7 na nchi 9
Dangi (74) yeye ana urefu wa nchi 21½ na ni mwanaume mfupi aliwahi ku-rekodiwa na Guiness na ana uzito wa Pound 32


Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa