Kama nafanikiwa kuingia Bungeni kwa mambo kama haya ninavyoyaona WABUNGE nitawapiga sana ngumi: PINA - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Ijumaa, 28 Novemba 2014

Kama nafanikiwa kuingia Bungeni kwa mambo kama haya ninavyoyaona WABUNGE nitawapiga sana ngumi: PINA

 Katika sakata linaloendelea hivi sasa bungeni juu ya pesa za Tegeta Escrow kuwa na sintofahamu ya ni za wananchi au la, maoni ya mwanahiphop aliewahi kujitangaza kugombea ubunge mwaka ujao Kala Pina" amesema haya

"Maoni yangu zile ni pesa sa umma ama si bana na repoti ya watu wasoni na yenyee imechunguza imetoa ripoti yake kwamba hawa watu inabidi wafilisiwe mali zao na wapandishwe kwenye mahakama ili kuweza kujibu tuhuma zinazowakabili, wanaotakiwa kutoa maelezo ya kina ambao ni mawaziri wamekuwa wakijiumauma sana ujue,
hawanyooshi maelezo. kwa namna moja au nyingine tunajikuta tunalipia umeme kila siku unapenda bei unit moja 500 sijui kutokana na michongo kama hiyo siyo, madeni yakwao wao baadhi ya mafisadi wachache lakini wanaleta ujanja ujanja mwisho wa siku  madeni hayo yanakuja kumwangukia mwananchi wa kawaida.." amesema Kala Pina
"na mi najipanga kugombea jimbo la Kinondoni " aliendelea kusema Piana "sema nachosema mimi kama nafanikiwa kuingia Bungeni kwa mambo kama haya ninayoyaona wabunge ntawapiga sana watu ngumi b ungeni kwasababu masihara mwengi, ntatumia nguvu zangu za ziada kukabiliana na mafisadi"

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa