Hekaheka ya Novemba 27 nimekurekodia iko hapa, inatoka Ilala, Dar. - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Alhamisi, 27 Novemba 2014

Hekaheka ya Novemba 27 nimekurekodia iko hapa, inatoka Ilala, Dar.


88.5 
Msichan mmoja anayeitwa Aisha ambaye imesemekana amekuwa akieneza maneno ya uongo kuhusiana na watu mbalimbali, amejikuta katika wakati mgumu baada ya kusutwa na wanawake kutokana na vitendo hivyo.
Siku aliyobainika wanawake hao wamesema Aisha alimpigia simu mwenzake mmoja kwamba kuna kundi la wanawake wapo saluni wanamsema na baada ya kufika wakabaini kuwa msichana huyo ndiye aliyesema.
Wanawake waliokuwa katika tukio hilo wamesema kutokana na tabia hiyo alishindwa kuishi na mama yake na kupokelewa na mama yake wa hiari ambaye naye amesema kuwa kutokana na tabia za msichana huyo amelazimika kumfukuza.
Wakati wanawake hao wakisema namna ambavyo amekuwa akieneza uongo huo, Aisha hakuwa na neno lolote kujitetea kama ni kweli au hapana.

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa