Chidi Benz aongelea ile project ya album na Fid Q, Rasheed vsFraeed. - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumanne, 11 Novemba 2014

Chidi Benz aongelea ile project ya album na Fid Q, Rasheed vsFraeed.

Takribani miezi mitatu imepita tangu Chidi Benz azungumzie kuhusu harakati zake za kufanya album na mkali wa hip hop Fid Q, Fareed vs Rasheed. Leo hii ameongelea alipofikia juu ya kukamilisha album hiyo
 

 Album hiyo ambayo imetokana na idea ya Chidi Benz tayari imeshaanza kufanyiwa kazi ambapo ngoma moja imeshakamilika lakini Chidi pia ameongelea kuhusu yeye mwenyewe na ratiba ya kuingia studio.

"kwasababu tulisha record ngoma moja so nafkiri sasa, now tunatakiwa tuingia mzigoni so nahisi the project itakuwa noma and me najitayarisha kuingia ingia vistudio napitia vistudio viwili vitatu hapa na pale nini, kwahiyo natafuta bado, nahisi nikijakupata msumari ntakuja tu kusema jamani eeh baada ya huu ni huu sasa hivi niko nautengeneza tengeneza na create," amesema Chidi
http://www.djfettytz.com/2014/08/audio-chidi-benz-kufanya-album-ya.html
Ya tunafanya album mzima inabidi tupge mikono tu, chidi na fid kwasababu ni  Rasheed na Fareed  kwahiyo tumeamua tu sisi wenyewe kufanya kitu..........
Ni idea yangu nilikuwanayo kabla sijatoa ngoma wala sikujua kama nitakuwa busy na ngoma kwahiyo nilikuwa najua kwamba kwa kipindi ambacho nitakuwa nimekaa nirecord project na Fid so ya imekuja imekuwa ratiba imebaki pale pale tunafanya, tuna mpango tu wa kupiga ngoma za ajabu sana." alimalizia  Chidi.










Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa