Mama ashikiliwa kwa kumvutisha Mwanae Sigara - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Ijumaa, 23 Machi 2018

Mama ashikiliwa kwa kumvutisha Mwanae Sigara


Mwanamke mmoja kutoka nchini Marekani leo March 22, 2018 ameshikiliwa na polisi baada ya kusambaa kwa video kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha akimvutisha mtoto wake sigara.

Video hiyo ambayo iliangaliwa zaidi ya mara Milioni 1 ndiyo iliyofanya Polisi wajue kinachoendelea na kuanza kumtafuta mwanamke huyo anayejulikana kwa jina la Brianna Ashanti Lofton mwenye umri wa miaka 20.

Video hiyo ilimuonesha mama huyo akimpa mtoto sigara ili avute. Lofton ameshtakiwa pia na kosa na kukutwa na bangi na makosa mawili ya kunyanyasa mtoto.

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa