Rapa 50 Cent amesema Eminem alikuwa msanii wa kwanza kupewa mchongo wa kuitayarisha soundtrack ya filamu ya Fast 7 “See You Again” kabla ya Wiz Khalifa.50 Cent anasema Eminem alikataa mchongo huo kutokana na kazi aliyokuwa nayo ya kutengeneza soundtrack ya filamu ya “Southpaw”.Kwa mujibu wa 123Bored.com Eminem alifanyiwa interview na Boomer & Carton radio nakusema “Nilipewa shavu la “See You Again,” ila milikata sababu nilikuwa natayarisha soundtrack ya filamu yaSouthpaw na dili lilikwenda kwa Wiz Khalifa na Charlie Puth ambao walifanya wimbo huo wa filamu ya Furious 7“.Wimbo wa “See You Again” ni miongoni mwa nyimbotano bora zaidi mwaka 2015 na sasa wimbo huu umetajwa kuwania tuzo za Grammy kama wimbo bora wa mwaka Wiz Khalifa Ft Charlie Puth “See YouAgain” > Grammy for Song Of The Year, pia umeshatazamwa na zaidi ya watu bilioni moja duniani.
Post Top Ad
Responsive Ads Here
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
Post Bottom Ad
Responsive Ads Here
Author Details
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates which are professionally designed and perfectlly seo optimized to deliver best result for your blog.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni