Mnigeria mwingine kwenye hatia ya kusafirisha dawa za kulevya - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Alhamisi, 27 Novemba 2014

Mnigeria mwingine kwenye hatia ya kusafirisha dawa za kulevya

Man-looks-out-of-prison-w-010 
Idadi ya raia wa Nigeria wanaokamatwa na dawa za kulevya inazidi kupanda siku hadi siku, ambapo taarifa iliyopo ni kwamba mtu mmoja mwenye umri wa miaka 35 amehukumiwa kunyongwa baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha dawa za kulevya.
Jamaa huyo Abuchi Ngwoke alikamatwa mwaka 2012 uwanja wa ndege wa Malaysia baada ya kukamatwa na dawa hizo zenye uzito wa gramu 251.66 aina ya Methamphetamine  ambazo alikuwa akisafirisha kutoka Nigeria kwenda Malaysia.
Ni mara nyingi tumekuwa tukisikia kuhusu watu wanaokamatwa kwa kusafirisha dawa hizo huku wengi wao wakitajwa kuwa ni Wanigeria.
Abuchi-Ngwoke

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa