Labda ungependa kuona kingine alichofanya Miss TZ 2012 Brigitte Alfred. - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumatano, 26 Novemba 2014

Labda ungependa kuona kingine alichofanya Miss TZ 2012 Brigitte Alfred.

Brig 1 
Ni mara chache kwa warembo kama Brigitte kujitolea time yao, mawazo pamoja nguvu yao kufanya vitu kama hivi kwenye jamii ya Watanzania ambayo kila kona ina hitaji misaada mbalimbali ili kupiga hatua za kimaisha.
Ninachotaka kukwambia hapa ni kuhusu hili jambo kubwa alilolifanya Brigitte kupitia Foundation yake ya Brigitte Alfred ambayo kiukweli imeanza kubadili maisha ya baadhi ya Watanzania kama hawa kuanzia kwenye mitazamo.
brig 2Brig 7 brig 8
brig 3
brig 4
brig 5
brig 6 
Brigitte amekua miongoni mwa Warembo wachache wa Tanzania ambao wameweza kumiliki vichwa vya habari kwa habari nzuri na za kuwasaidia Watanzania.
Neno lako lolote kwenye comment linaweza kusaidia kumpa nguvu Brigitte kwenye hii kazi ambayo ndio kwanza ameianza.

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa