Jay z na Beyonce wamkimbiza hosptali Solange kabla ya sherehe za harusi yake kuisha - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumatano, 19 Novemba 2014

Jay z na Beyonce wamkimbiza hosptali Solange kabla ya sherehe za harusi yake kuisha

 Solange Knowles alipendeza na kuonekana mwenye furaha sana jana wakati wa harusi yake iliyofanyika New Orleans siku ya jana (November 16th) mpaka pale alipotokewa na mapunye kibao usoni wakati ceremony yake inakaribia kufikia mwisho

Solange alipigwa picha pale alipooneka akitoka kwenye ceremony ya harusi yake akiwa na dada yake Beyonce na shemeji yake Jay Z huku uso wake na shingo vikiwa vimemvimba vimba kwa kinachosadikiwa kuwa ni allergy ya kitu alichokula.

Beynce alionekana kupaniki na kujaribu kumfunika mdogo wake nakitambaa cheupe usoni, lakini tayari paparazi walishawahi kupiga picha kabla hajamfunika
 Hii imekuwa ni bahati mbaya ya pili kwa Solange kwa mwaka huu ya kwanza ikiwa ni video iliyovuja ikimuonyesha mdogo huyu wa Beyonce akimpa makonde Jay Z ambae ni shemeji yake walipokuwa kwenye lift na kupelekea Solange kuondoka gari moja na Beyonce na Jay Z kuondoka na gari lingine
 Mambo yalikuwa tofauti wakati huu ambapo wote watatu walionekana kuingi akatika gari moja na kumkimbiza hospitali mke mpya wa Allen Furguson ambaye ni director wa video za muziki 

hizi ni baadhi ya picha zake za harusi yake 








Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa