Rapper mwenye umri mkubwa kuliko wote, bibi cheka,
wiki iliyopita kupitia 255 alifunguka kuhusu afya yake na kutuhabarisha kuwa anaumwa na ameanza kurudi katika hali yake,
baada ya kuanguka ghafla miezi mitatu iliyopita.
Bibi cheka pia akatuonjesha
ladha ya ngoma yake mpya ambayo anytyme label yake ya Mkubwa na Wanae
wataiachia.
kama unavyofahamu umaarufu zaidi unahitaji usalama zaidi, lakini mazingira anayoishi bibi cheka pande za Bunju jijini Dsm, ni kwenye kichumba cha udongo, ambacho anatamani kukivunja na angalau kujenga cha matofali ya cement
kama unavyofahamu umaarufu zaidi unahitaji usalama zaidi, lakini mazingira anayoishi bibi cheka pande za Bunju jijini Dsm, ni kwenye kichumba cha udongo, ambacho anatamani kukivunja na angalau kujenga cha matofali ya cement
"hapo nnamabati matano ndani na matofali yalikuwa 440, unaona, inapanda
chumba kimoja tu, na mabati matano yanaweza kuwa chumba kimoja kwa
mjengo wa kisasa kama huo lakini sasa sio hivyo kwafundi yuko nyumba hii
ananijengea mimi laki mbili chumba kimoja, laki mbii tu....." amesema
Bibi Cheka
.
Bi cheka amedai licha ya kuwa na Tv, Computer lakini hana umeme nyumbani kwake.
Mi nna Tv nne lakini sina umeme, hata computer imo ndani, ndo hivyo sasa utafanya nini we nyumba huna unajenga umeme (anacheka) we unalala chini huna huna kitanda ulalie mkeka halafu utie umeme
B cheka hakuishia hapo bali amezungumzia pia kuhusu kujihusisha sana kwenye mazoezi na jinsi majirani zake wanavyomchukulia
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni