Alichokifanya Rihanna ndani ya ikulu ya Marekani. - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Alhamisi, 13 Novemba 2014

Alichokifanya Rihanna ndani ya ikulu ya Marekani.

Rihanna amepost picha akiwa ikulu ya marekani (white house) alipotembelea siku ya jana huku akiwa amepozi sehem mbali mbali za ikulu 
kila moja ikiambatana na caption zikuhusu moja ya episodes za "Scandal" inayoruka kupitia kitup cha ABC

manano aliyoyaambatanisha kwenye picha hii ni kama anamwambia President’s Chief of Staff amfungulie geti la ikulu
ambapo aliandika "CYRUS!!! LET ME IN!!" #DayAtTheWhiteHouse




crew nzima ya Riri ndani ya ikulu
 "West Wing Posse!! We wanna be O.P.A. so bad!!!#DayAtTheWhiteHouse"

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa