Samatta apania kucheza soka Uingereza au Hispania - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumatano, 30 Machi 2016

Samatta apania kucheza soka Uingereza au Hispania

Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania anayekiputa katika klabu ya Genk ya nchini Ubelgiji Mbwana Ally Samatta amesema bado anafikiria kucheza soka nchini za Uhaspania na Uingereza kama atatakiwa na vilabu vya nchi hizo.


Mshambuliaji wa Kimataifa wa Tanzania anayekiputa katika klabu ya Genk ya nchini Ubelgiji Mbwana Ally Samatta amesema bado anafikiria kucheza soka nchini za Uhaspania na Uingereza kama atatakiwa na vilabu vya nchi hizo.Samatta amesema klabu ya Genk inautamuduni wa kuuza wachezaji hivyo, anadhani mkataba hautokuwa shida kuvunjwa pindi akitakiwa kuuzwa.Nahodha huyo wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars,amesema inatakiwa uvumilivu kucheza kwenyeligi ya Ubelgiji kwa kuwa haina umaarufu sana kwa kuwa haionyeshwi sana,ukilinganisha na ligi nyingine za Ulaya.Akiulizwa kuhusu timu gani za Uhispania na Uingereza angependa kuchezea, Samatta amesemeani siri yake, na asingependa kwa sasa kuweka wazi.Samatta aliyejiunga na Genk kwa mkataba wa miaka3, mwezi Januari mwaka huu, akitokea TP Mazembe ya DR Congo, hadi sasa amefunga mabao mawili, huku akionekana kuanza kuzoea ligi hiyo inayotumia mchezo wa kasi na nguvu.


Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa