Record ya Messi itakaa kwa zaidi ya miaka 600: Guardiola - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumatano, 26 Novemba 2014

Record ya Messi itakaa kwa zaidi ya miaka 600: Guardiola

Aliewahi kuwa Manager wa Barcelona Pep Guardiola,ammwagia misifa Lionel Messi baada ya kuvunja rekodi ya kufunga magoli mengi La Liga na kudai kuwa itachukua miaka 600 mtu mwingine kuja kuvunja rekodi hiyo.
 Messi alitandika Hat-trick weekend iliyopita na kuvunja record iliyowekwa na Telmo Zarra (251)  miaka 60 iliyopita kwenye kitabu cha rekodi kwa kufikisha magoli 253 kwenye La Liga.

Messi alifikisha magoli 251 jumamosi iliyopita dakila ya 21Barcelona ilipokuwa ikicheza na Sevilla na kufikia record ya Zarra, na akaivunja recor hiyo ndani ya dakika ya 72 kwa kuingeza goli la pili na kumaliza hat-trick katika ushindi wa 5-1.
Guardiola, ambae alishafanya kazi na Messi kati ya mwaka 2008 na 2012 amewataka watu kumpa hongera Messi kwa alichokifanikisha kwa kuwa amevunja record ambayo haikutegemewa kuvunjwa.

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa