Jaguar Land Rover yaja juu baada Ya kampuni ya magari China kutoa gari linalofanana na Range Rover E vogue kwa bei ndogo. - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumatano, 26 Novemba 2014

Jaguar Land Rover yaja juu baada Ya kampuni ya magari China kutoa gari linalofanana na Range Rover E vogue kwa bei ndogo.

hii ndio Range Rover E vogue (UK design) 
Ukiliangalia kwa mara ya kwanza utajua ni Evougue kutokana na muundo wa body lake, taa zake na logo ya silver pembeni mbele karibu na bonnet.
E vogue (UK design) inasimama kwa pound 40,000  ambae ni sawa na shilingi 109,484,364.60 huku kampuni ya China ikizindua gari hilo kwa Pound 14,000 ambazo ni sawa na shilingi 38,340,544.52.
Mendani mkuu wa Land Rover, Dr Ralf Speth ameiambia Autocar magazine: "ukweli kwamba aina hii ya kuiga inayoendelea China unakatisha tamaa, haki miliki (IP) inamilikiwa na Jaguar Range Rover na kama ukivunja umiliki huo basi utakuwa unavunja sheria za kimataifa

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa