Audio: Sikiliza interview: Quick Racka na Nahreal ndani ya Bifu lakufa mtu - MKWELI BLOG

Karibu kwenye kitovu cha HABARI.

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Breaking

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Responsive Ads Here

Jumatano, 26 Novemba 2014

Audio: Sikiliza interview: Quick Racka na Nahreal ndani ya Bifu lakufa mtu

Msanii na mmiliki wa studio za Switch (Switch Records),  Quick Rocka na producer Nar Real waingia ndani ya bif kubwa kiasi cha kupelekea kila mmoja kumzuia mwenzie kutumia kazi walizowahi kufanya pamoja.
Kwa madai ya Quick, Nahreal ambae alimuamini na kumuweka katika studio yake kwa ajili ya kufanya nae kazi ameondoka tu studio bila kuaga na kila akijaribu kumpigia simu anamkwepa, kitu ambacho ameona ni dharau kwake na hata baada ya kumpigia simu kwa takribani miezi mitatu kumtaka waonane waongee lakini hakufanya hivyo.

 
Nahreal ambae kwa sasa amefungua studio yake mwenyewe kwa upande wake amesema sio dharau alichokifanya bali ana familia kwahiyo alikuwa busy tu na mambo yake.
Quick amemkataza Nahreal (Navy Kenzo) kutumia choras aliyoitunga yeye na kutaftia melody iliyo katika wimbo wao mpya walioutambulisha leo hii "Moyoni" na kudai kuwa ameisajili COSOTA na uamuzi huo ameufanya baada ya Nahreal kudai kugawana mauzo ya ringtones na ring back tones ya wimbo wa Quick alioutengeneza yeye (Sukido) akiwa chini ya Switch Records.

Hakuna maoni:

Post Bottom Ad

Responsive Ads Here

Kurasa