Habari zilizopatikana kutoka
jijini arusha , zinasema kuwa Mroki (36) Alikuwa na vimada wawili ambao
ni wake za watu na kabla hajafanya tukio hilo la kupo Alitoa taarifa kwa
wanawake hao ( majina yao yamehifadhiwa )
Habari kutoka ndugu wa karibu ni kwamba vimanda hao baada ya kufahamiana waliamua kupiga picha ya pamoja na kumlushia Mroki kwa njia ya simu ya mkononi . Kugundulika kwa siri hiyo kurizusha tahaluki kwa mroki hivyo kukasababisha kuyumba kwa mahusiano baina ya vimada hao wawili , akiwepo mmoja ambaye ni mshirika wake wa biashara.
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni